November 09, 2023

Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema sekta ya uziduaji kwa muda mrefu imekuwa ni uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi wa nchi (Tanzania), kwa kutoa rasilimali muhimu na kuchangia asilimia takribani 10.2 ya Pato la taifa. Sekta inach...

Sekta ya uziduaji kwa muda mrefu imekuwa ni uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi wa nchi (Tanzania) ( Cloned )
Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema Naibu Waziri Wizara ya Madini, Judith Kapiga, amesema sekta ya uziduaji kwa muda mrefu imekuwa ni uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi wa nchi (Tanzania), kwa kutoa rasilimali muhimu na kuchangia asilimia takribani 10.2 ya Pato la taifa. Sekta inachangia pia zaidi ya asilimia 40 ya bidhaa zote zinazoenda nje (ya Tanzania), asilimia 4 ya mapato ya serikali, asilimia 50 ya uwekezaji wa nje wa moja kwa moja (Foreign Direct investments) pamoja na kutengeneza ajira kwa kiasi kikubwa. "Hii ni kwa mujibu wa tafiti ya uchumi ya mwaka 2023," amesema wakati wa mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uziduaji lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la HakiRasilimali, uliifanyika mkoani Dodoma leo Novemba 9,2023.

Mwisho, kwa kutoa rasilimali muhimu na kuchangia asilimia takribani 10.2 ya Pato la taifa. Sekta inachangia pia zaidi ya asilimia 40 ya bidhaa zote zinazoenda nje (ya Tanzania), asilimia 4 ya mapato ya serikali, asilimia 50 ya uwekezaji wa nje wa moja kwa moja (Foreign Direct investments) pamoja na kutengeneza ajira kwa kiasi kikubwa. "Hii ni kwa mujibu wa tafiti ya uchumi ya mwaka 2023," amesema wakati wa mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uziduaji lililoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la HakiRasilimali, uliifanyika mkoani Dodoma leo Novemba 9,2023.

Related Posts

CALL FOR ABSTRACTS
Jun 12, 2026

CALL FOR ABSTRACTS

📢 CALL FOR ABSTRACTS HakiRasilimali invites researchers, academics, practitioners, policymakers, and civil society actors to submit abstracts for th...

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 02, 2025

Call for Application-Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

ESKi Tanzania ni programu ya kukuza uwezo iliyoundwa ili kukuza na kuendeleza kizazi kipya cha viongozi, watetezi wa jamii na wataalamu wanaoshughulik...

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)
Sep 01, 2025

Call for Application – Extractive Sector Knowledge Transfer Incubator (ESKi)

Capacity-building opportunity for CSOs, youth and media to deepen technical expertise.